copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
Pre GE2025 - Mwenyikiti wa UVCCM Mohamed Ali Kawaida: Ushindi wa CCM ni . . . Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA Ndg Mohammed Ali Kawaida amesema Chama Cha Mapinduzi ndio baba wa vyama vingine ambavyo ni sawa na watoto wadogo katika misingi ya kisiasa na kisera kwa maslahi ya nchi ya Tanzania na hivyo ushindi wa CCM katika Uchaguzi ni sawa na kifo; CCM lazima kishinde kwa sababu
TANZIA - Diwani afariki dunia ghafla baada ya kuhutubia mkutano wa . . . Diwani wa Kiwere, Felix Waya, amefariki dunia ghafla jana Mei 23, 2025, baada ya kumaliza kuhutubia katika mkutano wa ziara ya CCM uliofanyika katika ukumbi wa Masai uliopo kwenye kata hiyo, Wilaya ya Iringa Akizungumza na Mwananchi leo Mei 24, 2025, Katibu wa UVCCM Wilaya ya Iringa
Pre GE2025 - Video: Haya maadhimisho ya TAPSEA ni kikao cha CCM? Kikao . . . Wakuu, Kuna huu mkutano wa Tanzania Personal Secretaries Association (TAPSEA) wa vitengo mbalimbali serikalini unaendelea muda huu na Makamu wa Rais Philip Mpango ndio mgeni rasmi lakini kuna kitu sijaelewa Yaani mkutano mzima hawa wazungumzaji wanamsifia na kuimba nyimbo za kumsifu Rais
Kauli za mkuu wa nchi zinachangia na kuimaliza kabisa serikali ya CCM Ukiangalia kwa jicho la tatu utajua namaanisha nini? Kila anaposimama na kusema anajikuta anaharibu hali ya hewa ya siasa za CCM Kwa sasa CCM imekufa kimebaki kikundi cha "machawa" kwa uchache Kuleni kulinga na urefu wa kamba zenu," kifo ni kifo tu, "chura kiziwi," watumishi wengine ni
Pre GE2025 - CCM yazindua rasmi Ilani yake ya 2025 . . . - JamiiForums Ilani ya CCM ya mwaka 2015 ndani yake kulikuwa na kipengele cha "kukamilisha" mchakato wa katiba mpya, kilichofuata baada ya hapo ni Rais aliyenadi Ilani hiyo kupuuza kipengele hicho Kwa CCM ilani ni kipande cha karatasi tu
Pre GE2025 - DSM - Ujumbe kutoka kwa Tundu Lissu: Jaji . . . - JamiiForums "Jaji Hamidu Mwanga ni Jaji wa Samia, na kwasababu hiyo ni Jaji wa CCM na anafanya kazi ya CCM Jaji Mwanga alikuwa kwenye Tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) ya Jecha Salimu Jecha ambayo ilifuta uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 Jaji wa namna hii tutatarajia aipende CHADEMA inayosema No reforms No
Pre GE2025 - Tazama makao makuu ya CCM yatakavyokuwa . . . - JamiiForums Ramani ya jengo jipya la makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), linalotarajiwa kugharimu Sh34 bilioni, imewasilishwa leo Alhamisi Mei 29, 2025 mbele ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa chama hicho unaoendelea katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma Makao hayo makuu mapya, ambayo
Pre GE2025 - CCM yapitisha marekebisho matatu kwenye . . . - JamiiForums Wakuu, CCM wanafanya mkutano wao mkuu maalum leo na kesho (May 29-30) Dodoma, nadhani an wengine watafuatilia mahala walipo kwakuwa sehemu ni ndogo Nini kitajili leo, Gwajima hatimaye atavuliwa uanachama? Tutaona yatakayojiri ============================================ Chama Cha Mapinduzi kimepitisha marekebisho matatu kwenye katiba yao Marekebisho hayo yaliyopitishwa ni pamoja na: 1
Pre GE2025 - Stephen Wasira: Chama Cha Mapinduzi (CCM . . . - JamiiForums CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakitaahirisha uchaguzi ng'o kwa sababu kiliomba ridhaa ya kuongoza nchi kwa miaka mitano na kimeongoza vizuri kwa kuleta maendeleo chini ya serikali iliyoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan Hayo yameelezwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara
Pre GE2025 - Dkt. Nchimbi: Ujenzi Jengo jipya la Makao Makuu ya CCM . . . Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amesema Mwenyekiti wa chama hicho Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko makubwa katika chama hicho Akizungumza leo Mei, 28 katika tukio la uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi jengo jipya la Makao Makuu ya CCM