copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
Watu wote wenyeakili wanajua; Mipango yao ime fail, CCM inazidi kuwa . . . Watu wanaotumia mihemko wataendelea kupiga kelele Lakini ukweli ni kwamba mipango yao waliyoisuka kwa miaka mingi imezimwa kama mshumaa Wao wanapanga CCM inapanga CCM imevuka vikwazo vingi mno, imepita kwenye milima na kwenye mabonde mazito Imepenya majaribio mengi Walitumia maafisa
CCM ni kina kirefu sana. Wengi hawaijui vizuri (Kidogo kidogo . . . CCM si chama tu Ni taasisi, ni historia, ni mfumo, ni falsafa, na ni utamaduni wa kisiasa uliozaa Tanzania tunayoijua leo Kuelewa CCM kunahitaji mtu kujifunza: historia yake, misingi yake, muundo wake, mafanikio na changamoto zake, zaidi ya maneno ya mitandaoni Ndiyo maana ni sahihi kusema: “CCM ni kina kirefu sana, na wengi hawaijui
GE2025 - CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge . . . - JamiiForums Wakuu, Ile siku ambayo ilikuwa inasuburiwa kwa hamu ni leo Ngoja tuone kitachojiri ========= Wakati watu wakimsubiri Makalla, ukurasa rasmi wa CCM umepost picha hizi kwamba kikao bado kinaendelea Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wa
Jambo pekee la kuwafanya CCM waogope kuwachezea . . . - JamiiForums Kwa muda mrefu sana, CCM waliwafanya Watanzania kama mazuzu na wapumbavu Waliwateka, kuwaua, kuwaibia uchaguzi, kufisadi rasilimali za Taifa huku wakiwalisha propaganda za amani, udini, uzalendo, vita vya kiuchumi na nyingine nyingi CCM hawakuweza tu kuwarubuni Watanganyika kwa uongo bali
GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025 Majina ya wagombea wa Ubunge wa Majimbo, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, Viti Maalum vya Ubunge na Baraza la Wawakilishi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) yanatarajiwa kutangazwa mchana huu baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho kulichomalizika usiku wa kuamkia Julai 29, 2025
PostGE2025 - CCM kubalini yaishe, mtamponza Mama Samia CCM kubalini uwezo wenu wa kuongoza taifa umefikia mwisho, umegota na kila lenye mwanzo halikosi mwisho Ili kukinusuru chama kwa muongo mwingine ujao mshaurini Samia ajiuzulu, iandikwe katiba mpya uchaguzi urudiwe hiyo ndiyo itakuwa salama yenu Kuendeleza jeuri kuwa sisi ndio chama tawala
GE2025 - CCM sio chama kirahisi hivyo kwenye suala la Dola Hakuna watu walitikisa ccm kama Tanzanian Youth Democracy Movement, wengi wenu mlikua bado hamjazaliwa, tujikumbushe kidogo ni wakina nan hawa kikundi hiki kilikua na wanachama Moussa Membar (kiongozi), Mohammed Ali Abdallah, Mohammed Tahir Ahmed, Yassin Membar, na Abdallah Ali Abdallah
CCM inazidi kupoteza Fursa ya Kujijenga Upya Kupitia Katiba Mpya na . . . CCM wanaendelea kufanya makosa makubwa sana kisiasa Huu ulikuwa muda wao sahihi kabisa wa kutengeneza katiba mpya na tume huru ya uchaguzi Kama wangefanya hivyo, wangejihakikishia nafasi ya kubaki kama chama kikuu nchini hata kama wangeondoka madarakani leo Kwa mfano, kule Marekani, vyama
PostGE2025 - Hadi muda huu hotuba ya Samia kesho na wazee wa CCM Dar . . . Kwanza ifahamike hawa sio Wazee wa Dar ni Wazee wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar na wanakwenda kukutana na Mwenyekiti wao wa Taifa CCM lakini pamoja na hayo Wazee wa Dar watusaidie kumwambia Samia Suluhu kwamba yeye sio Rais wetu - hatujamchagua, hakuna uchaguzi uliofanyika
PostGE2025 - CCM ni mpango wa Mungu | JamiiForums Kupitia mambo mengi mazuri yaliyofanywa na CCM tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977 ninaweza sema hadharani kuwa CCM ni mpango wa Mungu CCM ndo chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote wakiwemo Lissu na Heche Kuna sababu nyingi sana za kutamka kuwa CCM ni mpamgo wa Mungu Chini ya CCM