copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
Where We Dare To Talk Openly | JamiiForums Nashukuru JF kwa kuwa moja ya sehemu za kuongeza furaha, kunipa raha na kupunguza maumivu kwa mwaka huu 2025 ulikuwa mwaka mgumu kwa wengi wetu; asanteni kwa tabasamu, mafunzo, elimu, vituko
Habari na Hoja mchanganyiko - JamiiForums Hapa JF kuna watu wana maneno yanayochoma kama mkuki, hata hivyo bado kuna watu wanaobaki kuwa na mioyo ya upendo, subira na busara hata wakirushiwa mikuki ya dhihaka na kejeli Mmoja wa watu hao
Kufungiwa kwa JF hadi leo ni Mwendelezo wa Ukandamizaji wa uhuru wa . . . Sababu za kufungiwa JF ni muendelezo wa ukandamizaji wa uhuru wa kujielezea ndio maana muda umeisha na JF haijafunguliwa kinyume cha sheria, ni upumbavu Wanazima moto kwa kujaza mafuta na hawawezi tena kuficha upumbavu wao na kudharau sheria za nchi, siku chache zijazo wataona moto
PostGE2025 - Hello JF! Siku 90 za kifungo kutoka TCRA zimeisha rasmi . . . JF Ilipata ban tarehe 6 September 2025 kwa maelezo ya kukiuka Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta kuhusu maudhui mtandaoni Soma Pia: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums Katika hizi siku 90 kuna member wenzetu walipotea kabisa hewani lakini sasa tunaamini watarejea
Mpaka Sasa 90+% ya wanachadema wa JF wameifungua na kuisoma katiba ya . . . GenuineMan JF-Expert Member Jun 13, 2017 7,068 16,371 Jul 24, 2025 #12 Ni kwasababu hutumii ubungo wako vizuri, Lakini hamna ubaya katika hilo Na utakuwa umesahau jinsi CCM walivyofuatilia uchaguzi wa Chadema kwa ukaribu mwanzoni mwa mwaka
Kilimo, Ufugaji na Uvuvi | JamiiForums Wana JF Tanzania imebarikiwa kuwa na vyanzo vya maji ya asili ikiwemo mito, mabwawa, maziwa, bahari, chemchem nk Kutokana na vyanzo hivi tunapata samaki wa aina mbalimbali wakiwemo perege sato