copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
Pre GE2025 - Uchambuzi wa Kauli Mbiu ya CCM ya Uchaguzi . . . - JamiiForums Utawala Bora na Uwazi – CCM inajitambulisha kama chama kinachothamini uongozi wenye maadili, usimamizi mzuri wa rasilimali, na uwajibikaji kwa wananchi Kwa maana hii, CCM inasisitiza kuwa maendeleo hayawezi kuwa ya kweli bila kuthamini utu wa watu na kuhakikisha kuwa kila mmoja anashiriki na kufaidika
Pre GE2025 - CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 . . . - JamiiForums Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi, ameongoza Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Taifa kutembelea Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma ili kukagua maendeleo ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM unaotarajiwa kufanyika tarehe 18 na 19 Januari 2025
Aliyekuwa kada wa CCM Godfrey Malisa atinga kortini . . . - JamiiForums Aliyekuwa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Godfrey Malisa, amewasilisha maombi kortini akiomba uanachama wake ulindwe, ili afungue maombi ya kupinga mchakato wa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais Dk Malisa amewasilisha ombi hilo akiomba mahakama itoe zuio la muda kwa
Pre GE2025 - Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira: CCM . . . - JamiiForums Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hakina chuki wala kısası na mtu bali kinaamini kutekeleza sera ya maridhiano Wasira ametoa kauli hiyo jana akiwa katika mkutano wa hadhara alipokuwa akizungumza na wana CCM wilayani Urambo
Pre GE2025 - CCM yatangaza kuanza kwa mchakato wa uteuzi . . . - JamiiForums Katiba ya CCM na Mchakato wa Uchaguzi Katika kuangalia katiba ya CCM, ni muhimu kujiuliza kwa nini hakuna muda maalum wa kuanza kutoa fomu za kugombea Hii inadhihirisha udhaifu katika mfumo wa chama na inaonyesha kwamba uamuzi wa kuendesha mchakato wa uchaguzi unaweza kutegemea matakwa ya viongozi badala ya kufuata taratibu zilizowekwa
Pre GE2025 - Gari ya katibu mwenezi CCM Mbeya lachomwa moto Familia ya Katibu Mwenezi wa CCM Mbeya Mjini, Philimon Mng'ong'o, imekumbwa na hofu baada ya watu wasiojulikana kuvamia nyumbani kwake usiku wa kuamkia Aprili 22, 2025 na kuchoma gari Moto huo pia ulianza kushika sehemu za nyumba, lakini watu 11 waliokuwemo waliokolewa salama Mng'ong'o
Jionee tofauti kati ya Mikutano ya CCM na ya CHADEMA . . . - JamiiForums Cha kufurahisha zaidi Polisi hawahawa wamekuwa wanawaruhusu CCM kufanya Mikutano eneo hilo hilo la Kariakoo bila kuwazuia, kuwakamata wala kuwabughudhi Picha za Mikutano ya CCM inayofanyika hapo Kariakoo bila kubughuziwa na Polisi hizi hapa👇 View attachment 3312542 View attachment 3312544 View attachment 3312545 View attachment 3312547
Pre GE2025 - Wanachama CHADEMA Mbeya watimkia CCM - JamiiForums WANACHAMA CHADEMA MBEYA WATIMKIA CCM MBEYA: Zaidi ya Wanachama wapya 50 wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mbeya kutoka katika vyama vya upinzani wakitaja kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kuwa sababu ya kukiamini na kuamua kujiunga na chama hicho Wanachama hao
Pre GE2025 - POTOSHI - Makamu Mwenyekiti wa CCM Steven . . . - JamiiForums Wasira ni mwanasiasa mkongwe ndani ya CCM ambaye amewahi kutimkia NCCR mageuzi mwaka 1995, baada ya kushindwa kwenye kura za maoni za ndani ya CCM, dhidi ya Jaji Joseph Warioba (Waziri Mkuu na Makamu wa Rais Mstaafu) Wasira hakuridhishwa na ushindi wa Warioba na aliamua kukihama chama hicho na kwenda NCCR Mageuzi wakati huo ikiwika na
Amosi Makalla amepwaya Ukatibu Mwenezi wa CCM - JamiiForums Amos Makalla, aliyeteuliwa kama Katibu Mwenezi wa CCM, anaonekana kukosa mvuto kwa baadhi ya watu kutokana na sababu kadhaa zinazoweza kujadiliwa: 1 Uzoefu na Historia ya Kisiasa: Ingawa Makalla ana uzoefu katika siasa, baadhi ya watu wanaweza kuona kuwa hana nguvu au rekodi ya kipekee ya