copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
GE2025 - Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia . . . - JamiiForums CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge, maamuzi ya kamati kuu muda huu Kamati Kuu CCM yamaliza kikao saa 5 usiku, yapitia na kuchuja mapendekezo ya majina ya Wagombea Taarifa hiyo inasubiriwa kwa hamu kubwa, kwani itabainisha majina ya wagombea waliopenya katika hatua za awali za uteuzi kuelekea uchaguzi wa ndani wa chama hicho tawala Updates
GE2025 - CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge . . . - JamiiForums Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kikiendelea usiku huu Jijini Dodoma tarehe 28 Julai, 2025 kupitia na kuchuja mapendekezo ya majina ya wagombea wa Ubunge wa Majimbo, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, Viti
GE2025 - Watu maarufu walioachwa katika kinyanganyiro cha Ubunge CCM . . . Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza majina ya wagombea ubunge walioteuliwa kugombea katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kufuatia vikao vya juu vya chama hicho, ikiwemo Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), vilivyoketi hadi usiku wa manane Julai 28 Orodha hiyo ilisomwa na Katibu wa
GE2025 - Wabunge wa sasa waliokatwa kugombea CCM hawa hapa Hawa ni wabunge wa sasa ambao CCM imewapumzisha 1 Mrisho Gambo - Arusha Mjini 2 Stephen Byabato - Bukoba Mjini 3 Luhanga Mpina - Kisesa 4 Ndaisaba Ruhoro - Ngara 5 Josephat Gwajima - Kawe (Hakuchukua fomu) 6 January Makamba - Bumbuli 7 Nicodemus Maganga - Mbogwe 8 Christopher Ole
GE2025 - Uhuni unaoendelea kushuhudiwa katika kura za . . . - JamiiForums Uhuni unaoendelea kushuhudiwa katika kipindi hiki cha kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni dalili ya kuporomoka kwa maadili ya kisiasa na ukosefu wa utawala wa sheria ndani ya mfumo wa chama hicho Matukio ya kukodi vijana wahuni ili kuwadhuru wapinzani wa kisiasa ndani ya chama
GE2025 - Utaratibu Mpya wa CCM kwa Ubunge 2025: Gharama, Mchujo, na . . . Utaratibu Mpya wa CCM kwa Ubunge 2025: Gharama, Mchujo, na Ukweli Usioambiwa Katika kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekuja na utaratibu mpya unaowahusu wagombea wa nafasi ya ubunge – utaratibu ambao wengi wa watia nia hawakuujua mapema, na sasa unazidi kuzua taharuki na sintofahamu miongoni mwao
GE2025 - Utata Samia kupitishwa kuwa mgombea urais CCM 2025 Minong’ono ya kuteuliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi katika Mkutano Mkuu wa Januari 19, 2025 jijini Dodoma, imeendelea kutawala na safari hii imnepata kasi baada ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kutangaza kujiuzulu
PreGE2025 - Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally . . . - JamiiForums Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana leo tarehe 03 April, 2024 jijini Dar Es Salaam, katika kikao chake maalum, chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg Dkt Samia Suluhu Hassan, pamoja na masuala mengine, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa