copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025 Majina ya wagombea wa Ubunge wa Majimbo, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, Viti Maalum vya Ubunge na Baraza la Wawakilishi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) yanatarajiwa kutangazwa mchana huu baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho kulichomalizika usiku wa kuamkia Julai 29, 2025
GE2025 - Watu maarufu walioachwa katika kinyanganyiro cha Ubunge CCM . . . Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza majina ya wagombea ubunge walioteuliwa kugombea katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kufuatia vikao vya juu vya chama hicho, ikiwemo Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), vilivyoketi hadi usiku wa manane Julai 28 Orodha hiyo ilisomwa na Katibu wa
GE2025 - CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge . . . - JamiiForums Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kikiendelea usiku huu Jijini Dodoma tarehe 28 Julai, 2025 kupitia na kuchuja mapendekezo ya majina ya wagombea wa Ubunge wa Majimbo, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, Viti
CCM:The central committee team and its implications Party one: An article from an analyst Enjoying reading CCM: CENTRAL COMMITTEE TEAM AND ITS IMPLICATIONS Introduction After a delay of five months, Chama cha Mapinduzi finally announced a new team to sit in the Central Committee Majority members in the new 14-member team are light weight
Kwanini ni muhimu kwa kijana wa kisasa kujiunga na Chama . . . - JamiiForums KUNA HESHIMA KUBWA KWA KIJANA KUWA MWANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI Heshima ya kijana huwa inapanda maradufu pale kijana huyo anapotambulika kuwa ni mwanachama wa CCM Hii ni kutokana na sifa nzuri ya CCM kwani vijana wa CCM ni watiifu , wenye nidhamu wapenda Amani na Haki na wepesi wa kutoa msaada pale wanapohitajika
GE2025 - Utaratibu Mpya wa CCM kwa Ubunge 2025: Gharama, Mchujo, na . . . Utaratibu Mpya wa CCM kwa Ubunge 2025: Gharama, Mchujo, na Ukweli Usioambiwa Katika kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekuja na utaratibu mpya unaowahusu wagombea wa nafasi ya ubunge – utaratibu ambao wengi wa watia nia hawakuujua mapema, na sasa unazidi kuzua taharuki na sintofahamu miongoni mwao
GE2025 - Hatima ya watia nia CCM waliopenya, kuliwa kichwa kuwekwa . . . Wakuu! Hatima ya wagombea waliopenya, kuliwa kichwa kuwekwa hadharani! CCM inatarajia kutangaza majina matatu ya wagombea ubunge na udiwani kwa kila jimbo na kata ndani kuanzia leo, baada ya kikao cha Kamati Kuu Julai 19, 2025 Mchujo umehusisha maelfu ya watia nia, huku viongozi wakisisitiza
PreGE2025 - CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 . . . - JamiiForums Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema mkutano mkuu wa chama hicho utafanyika kati ya Januari 18 na 19, 2025 jijini Dodoma Katika mkutano huo utakaoongozwa na mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan kutafanyika uchaguzi wa makamu