copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
GE2025 - CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge . . . - JamiiForums Wakuu, Ile siku ambayo ilikuwa inasuburiwa kwa hamu ni leo Ngoja tuone kitachojiri ========= Wakati watu wakimsubiri Makalla, ukurasa rasmi wa CCM umepost picha hizi kwamba kikao bado kinaendelea Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wa
GE2025 Mwenyekiti wa CCM Aongoza kikao Cha kamati ya Maadili saa 8 . . . Kikao cha Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefanyika majira ya saa nane usiku chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia na kuchuja majina ya wagombea Jijini Dodoma tarehe 28 Julai, 2025
GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025 Majina ya wagombea wa Ubunge wa Majimbo, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, Viti Maalum vya Ubunge na Baraza la Wawakilishi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) yanatarajiwa kutangazwa mchana huu baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho kulichomalizika usiku wa kuamkia Julai 29, 2025
GE2025 - Maagizo ya katibu wa Itikadi na Uenezi ccm kurudisha majina ya . . . Jana katibu wa Itikadi na uenezi CCM Amos Makala aliongea na vyombo vya habari na kusema kuwa majina ya wagombea udiwani kupitia CCM nchi nzima yarudishwe yote ili yakapigiwe kura na wanachama naona agizo hili kwenye ikoa niliyopita halijatekelezwa kulikoni? Wadau huko kwenye mikoa yenu vipi
GE2025 - Kada CCM, Malick Malupu: Mchakato wa kumpata mgombea wa Urais . . . Akizungumza na waandishi wa habari mjini Morogoro Kada wa Chama cha Mapinduzi Mkoani humo, Malick Malupu amesema mchakato wa kumpata mgombea wa kiti cha Urais ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM ulizingatia misingi ya katiba ya chama, demokrasia ya ndani na maadili ya uongozi
Hivi CCM kuna mzalendo zaidi ya Nyerere au wanajizima . . . - JamiiForums Kwamba, CCM wasiogope kuwa na wagombea wengi katika nafasi ya Urais Wanachama wa CCM wataamua baada ya kuwasikiliza Mwl, Nyerere anahoji, kama kwa madiwani na wabunge CCM inatafuta maoni ya wanachama kwanini siyo kwa mgombea Urais? Mwl, Nyerere alisisitiza kwamba, maoni ya wanachama yasipuuzwe Wanachama wapewe muda wa kutafakari na kuamua
Napendekeza: Tuwe na CCM Pekee Kama Ilivyo China na CCP, Vyama Vingine . . . Ni wakati sasa wa kufikiria upya mfumo wetu wa kisiasa Nashauri Tanzania iwe na chama kimoja pekee cha siasa – Chama Cha Mapinduzi (CCM) – kama ilivyo nchini China ambako Chama Cha Kikomunisti cha China (CCP) ndicho mhimili wa siasa, uchumi, na dira ya taifa Mfumo huu umesaidia China kuwa taifa lenye uthabiti wa kisera na maendeleo ya haraka, jambo ambalo na sisi tunaweza kujifunza nalo
GE2025 sikilizeni matokeo ya kikao cha CCM live - JamiiForums Wale wazushi wa humu JF sikilizeni matokeo ya kikao cha dharura cha CCM Dodoma CCM ni chama imara zaidi ya jabali hamwezi ht kuitingisha, msiifananishe na hao wenzenu Sijui baada ya hapa mtakuja na uzushi upi, tunausubiri ila wengine mtawehuka mwaka huu KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, OKTOBA
GE2025 - VIDEO: Kamati Kuu CCM yamaliza kikao saa 5 usiku, yapitia na . . . Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, iliyoketi Jumatatu, tarehe 28 Julai 2025, Dodoma, chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, wakitoka kikaoni, baada ya kikao hicho kumalizika usiku huu Fuatilia
GE2025 - Utaratibu uliotumiwa na CCM Kumpitisha Samia . . . - JamiiForums Inaonekana CCM iko mikononi mwa watu ambao uwezo wao wa kuona mbele ni mwisho wa pua zao Sijui kama wamewahi kufikiria uwezekano wa historia kujirudia! Hatuombei iwe hivyo, lakini ikitokea (for any reason) Samia ameshindwa kumaliza term anayopigana kuichukua na hivyo Nchimbi (VP wake