copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
Pre GE2025 - CCM yazindua rasmi Ilani yake ya 2025 . . . - JamiiForums Ilani ya CCM ya mwaka 2015 ndani yake kulikuwa na kipengele cha "kukamilisha" mchakato wa katiba mpya, kilichofuata baada ya hapo ni Rais aliyenadi Ilani hiyo kupuuza kipengele hicho Kwa CCM ilani ni kipande cha karatasi tu
GE2025 - Utata Samia kupitishwa kuwa mgombea urais CCM 2025 Minong’ono ya kuteuliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi katika Mkutano Mkuu wa Januari 19, 2025 jijini Dodoma, imeendelea kutawala na safari hii imnepata kasi baada ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kutangaza kujiuzulu
GE2025 - Teuzi CCM Simiyu Zisiwe Biashara – Wanachama . . . - JamiiForums Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu wakiongozwa na Mwenyekiti wao, Shemsa Mohamed, wametakiwa kutumia busara, uadilifu na uzalendo katika kufanya teuzi za awali kwa watia nia ya ubunge na udiwani, huku wakionya dhidi ya vitendo vya rushwa vinavyodaiwa kushamiri
Dk Muchunguzi: Mwaka 2020 Polepole alisimamia mgombea mmoja CCM . . . Mchambuzi wa masuala ya siasa, Dk Dennis Muchunguzi amekosoa kauli za aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kuhusu uteuzi wa Rais Samia kuwa mgombea pekee aliyepitishwa na mkutano mkuu wa CCM, Januari 19, akisema ni utaratibu wa CCM kwa rais anayegombea awamu ya pili kuwa
Shida sio CCM shida ni Watanzania - JamiiForums Habari Wakuu Ukiwa makini utaelewa kwamba hapa Tanzania shida sio CCM shida ni Watanzania wenyewe (ambao wanaunda CCM) Hivyo basi hata kama chama kingine kikiingia Madarakani shida na vilio vitakuwa ni vilevile tena inawezekana ikawa zaidi WHY? kwasababu shida sio chama shida ni watanzania
Siyo siri, CCM yangu inapitia wakati mgumu! - JamiiForums Kwa sasa, CCM inapitia wakati mgumu kiuongozi, pengine kuliko wakati wowote ule wa uhai wake CCM ilijigeuza kutoka chama cha ukombozi na kuwa chama cha kuleta maendeleo na ustawi kwa wananchi wa Tanzania katka nyanja zote CCM ni chama kinachoongozwa na watu, watu ambao kila mmoja ana mawazo yake, matamanio yake na ndoto zake
CCM nyaya zimegusana - JamiiForums Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi? No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣 Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣 mene, mene, tekeli, na peresi
CCM yakanusha kukata majina ya waliochukua fomu - JamiiForums Chama Cha Mapinduzi(CCM)Kimekanusha taarifa zinazoesambaaa kwenye Mitandao ya Kijamii kuwa Kuna baadhi ya watia nia wa Udiwani na Ubunge majina Yao yamekatwa huku wengine wakifanikiwa Kupita katika mchakato wa uteuzi Akizungumza na Waandishi wa Habari Leo Julai 13,2025 Jijini Dodoma Katibu wa
DSM - GE2025 - Polepole acharuka: CCM yavunja Misingi, Haki yazimwa . . . DSM GE2025 Polepole acharuka: CCM yavunja Misingi, Haki yazimwa, Katiba ilichakachuliwa na Utekaji wazidi kutisha Waufukweni Thursday at 8:05 AM humphrey polepole vyombo vya habari Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025 1 2 3 …
Pre GE2025 - DSM - Makalla: CCM kuzindua Ilani mpya ya 2025–2030 na . . . Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, leo tarehe 17 Mei 2025 amezungumza na waandishi wa habari katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam Katika mkutano huo na waandishi wa habari, CPA Makalla ameeleza kuwa Chama Cha