copy and paste this google map to your website or blog!
Press copy button and paste into your blog or website.
(Please switch to 'HTML' mode when posting into your blog. Examples: WordPress Example, Blogger Example)
GE2025 - Utata Samia kupitishwa kuwa mgombea urais CCM 2025 Minong’ono ya kuteuliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi katika Mkutano Mkuu wa Januari 19, 2025 jijini Dodoma, imeendelea kutawala na safari hii imnepata kasi baada ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kutangaza kujiuzulu
GE2025 - Khamis Mgeja amvaa Balozi Polepole, amtaka . . . - JamiiForums Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Khamis Mgeja amemshukia Balozi Hamphrey Polepole, akimtaka awaombe radhi wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kwa kauli aliyoitoa yenye lengo la kukivuruga chama Mgeja alisema hayo tarehe 21 Julai 2025 wakati akitoa maoni yake kuhusu kauli ya
GE2025 - Teuzi CCM Simiyu Zisiwe Biashara – Wanachama . . . - JamiiForums Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu wakiongozwa na Mwenyekiti wao, Shemsa Mohamed, wametakiwa kutumia busara, uadilifu na uzalendo katika kufanya teuzi za awali kwa watia nia ya ubunge na udiwani, huku wakionya dhidi ya vitendo vya rushwa vinavyodaiwa kushamiri
Kwanini kuikosoa CHADEMA inawezekana lakini CCM watu wanatishiwa . . . Kila siku ndugu na jamaa ya watu wanaoikosoa CCM wamekuwa wanatoa tahadhari kwa ndugu zao kuwa kuikosoa CCM si jambo salama Lakini sijawahi kusikia mtu yeyote alipewa tahadhari na ndugu, jamaa na marafiki zake kuwa kuikosoa CHADEMA ni jambo la hatari Nischoelewa ni kwa nini CCM inayosemwa
Mkutano Mkuu wa CCM Taifa ndio chombo cha Juu zaidi Tanzania . . . Na ndio maana mkutano mkuu maalumu wa CCM pale makao makuu Dodoma mapema mwaka huu2025, uliamua, ukaridhia na kuidhinisha mabadiliko ya katiba ya CCM bila tatizo lolote na vile vile mkutano mkuu huo huo wa CCM taifa, ukajadili, ukaamua, ukaridhia mapendekezo ya wajumbe wa mkutano mkuu huo wa
Pre GE2025 - DSM - Makalla: CCM kuzindua Ilani mpya ya 2025–2030 na . . . Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, leo tarehe 17 Mei 2025 amezungumza na waandishi wa habari katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam Katika mkutano huo na waandishi wa habari, CPA Makalla ameeleza kuwa Chama Cha
Pre GE2025 - CCM yazindua rasmi Ilani yake ya 2025 . . . - JamiiForums Ilani ya CCM ya mwaka 2015 ndani yake kulikuwa na kipengele cha "kukamilisha" mchakato wa katiba mpya, kilichofuata baada ya hapo ni Rais aliyenadi Ilani hiyo kupuuza kipengele hicho Kwa CCM ilani ni kipande cha karatasi tu
Pre GE2025 - CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 . . . - JamiiForums Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema mkutano mkuu wa chama hicho utafanyika kati ya Januari 18 na 19, 2025 jijini Dodoma Katika mkutano huo utakaoongozwa na mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan kutafanyika uchaguzi wa makamu